Breaking News

TANZANIA YAHUDHURIA MKUTANO KIMATAIFA KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA YA ANGA

  

Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa (MB), akifuatilia mkutano wa kimataifa wa mawaziri wa Usafiri wa Anga huko Hyderabad, India.

 Mkutano huo unajadili fursa na changamoto za sekta hiyo. Waziri Mbarawa ameandamana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga la Tanzania, Bw. Hamza Johari

No comments